Wiring ya Nyumba za Ghorofa Tanzania

Vifaa vya umeme, kazi zake, na makadirio ya gharama kulingana na idadi ya floor

Kadiria Gharama

Utangulizi

Nyumba za ghorofa zinahitaji wiring yenye load kubwa, circuits nyingi, DB za kila floor, na usalama wa MCB/RCCB. Hapa chini kuna maelezo ya kila kifaa cha umeme na kazi yake.

Vifaa vya Umeme kwa Nyumba za Ghorofa

Cables
Nyaya za Umeme (6mm² – 25mm²)

Husambaza umeme kutoka main DB kwenda DB za kila floor, soketi, taa, na appliances. Nyaya kubwa zinahakikisha load ya apartments haizidi.

Bei: TSh 5,000 – 15,000/m
Switch & Socket
Switch & Soketi

Switch hubadilisha taa, soketi hutoa connection kwa appliances ndani ya apartment. Soketi za 16A-32A kwa load kubwa.

Bei: TSh 5,000 – 20,000 kila moja
LED Light
Taa za LED / Panel Lights

Hutoa mwanga wa kutosha kwa apartments, corridors, na lobby. LED zinapunguza matumizi ya umeme.

Bei: TSh 8,000 – 50,000
Distribution Board
Distribution Board (DB) ya Floor

Husambaza umeme kwa floor zote, lighting, soketi, appliances. DB za chini na juu kwa kila floor.

Bei: TSh 150,000 – 500,000
MCB/RCCB
MCB & RCCB

Hulinda apartments na tenants dhidi ya overload, short circuit, na shock. RCCB ni muhimu kwa kila floor.

Bei: TSh 25,000 – 120,000
PVC Conduit
PVC Conduit

Hulinda nyaya ndani ya walls na ceilings. Inapendekezwa kwa concealed wiring za apartments na corridors.

Bei: TSh 3,500 – 7,000/kipande
Earthing
Earthing System

Hulinda tenants, appliances, na staff kwa kupeleka umeme ardhini endapo hitilafu itatokee.

Bei: TSh 100,000 – 300,000

Calculator ya Gharama ya Wiring

Makadirio ya Gharama:

Wasiliana Nasi

Piga moja kwa moja WhatsApp au pata location yetu

WhatsApp

BOQ & PDF Quotation

ItemQtyUnit PriceTotal