Wiring ya ofisi inahitaji vifaa vinavyoweza kubeba load kubwa na kuhakikisha usalama wa wafanyakazi na vifaa. Hapa chini kuna maelezo ya kila kifaa cha umeme na kazi yake.
Husambaza umeme kutoka DB kwenda kwa soketi, taa, printers, na server rooms. Nyaya kubwa zinahakikisha load kubwa haizidi.
Bei: TSh 2,500 – 6,000/m
Switch hubadilisha taa, soketi hutoa connection kwa kompyuta, printers, servers, na vifaa vingine vya ofisi.
Bei: TSh 5,000 – 20,000 kila moja
Hutoa mwanga wa kutosha kwa workstations, conference rooms, na hall za ofisi. LED zinapunguza matumizi ya umeme.
Bei: TSh 8,000 – 40,000
Hupokea umeme kutoka TANESCO na kuusambaza kwa circuits zote za ofisi, servers, na lighting.
Bei: TSh 150,000 – 400,000
Hulinda ofisi dhidi ya overload, short circuit na shock. RCCB hutoa security kwa wafanyakazi.
Bei: TSh 25,000 – 100,000
Hulinda nyaya ndani ya walls na ceilings. Inapendekezwa kwa wiring nyingi za ofisi.
Bei: TSh 3,000 – 6,000/kipande
Hulinda wafanyakazi na vifaa kwa kupeleka umeme ardhini endapo hitilafu itatokea.
Bei: TSh 80,000 – 200,000| Item | Qty | Unit Price | Total |
|---|