Vifaa vya umeme, kazi zake, na makadirio ya gharama kwa ukubwa wa ukumbi
Kadiria GharamaUkumbi au disco inahitaji wiring yenye load kubwa, lighting ya stage, sound system, na vifaa vya ukumbi. Hapa chini kuna maelezo ya kila kifaa cha umeme na kazi yake.
Husambaza umeme kutoka DB kwenda lighting, sound system na outlets. Nyaya kubwa zinahakikisha load ya stage na sound haizidi.
Bei: TSh 5,000 – 12,000/m
Switch hubadilisha stage lights, soketi hutoa connection kwa DJ, speakers, LED walls, na projector.
Bei: TSh 6,000 – 25,000 kila moja
Hutoa mwanga wa kutosha kwa stage, dance floor, na seating area. LED na floodlights hupunguza matumizi ya umeme.
Bei: TSh 15,000 – 60,000
Hupokea umeme kutoka TANESCO na kuusambaza kwa circuits zote za ukumbi, stage, lighting, na sound system.
Bei: TSh 200,000 – 500,000
Hulinda ukumbi dhidi ya overload, short circuit na shock. RCCB ni muhimu kwa usalama wa staff na visitors.
Bei: TSh 30,000 – 120,000
Hulinda nyaya ndani ya walls na ceilings. Inapendekezwa kwa wiring nyingi na concealed wiring za ukumbi.
Bei: TSh 3,500 – 7,000/kipande
Hulinda wafanyakazi, DJ, na visitors kwa kupeleka umeme ardhini endapo hitilafu itatokea.
Bei: TSh 100,000 – 250,000| Item | Qty | Unit Price | Total |
|---|