Msaada Kutoka AI
👋 Hi! karibu tukuhudumie.

Masharti ya Matumizi

Masharti ya Matumizi ya Huduma zetu

Terms & Conditions

  1. Mtumiaji anakubali kutumia jukwaa kwa madhumuni halali pekee.
  2. Jukwaa ni kiunganishi kati ya mteja na mkandarasi sahihi na mwenye leseni
  3. Makubaliano ya kazi ni kati ya mteja na mkandarasi.
  4. Hatutawajibika kwa madhara yatokanayo na utekelezaji wa kazi.
  5. Tuna haki ya kusitisha akaunti inayokiuka masharti.